vidonge vipi vya hormone unavyozungumzia mkuu? ningependa kujua
Usirudie kule kule tulikotoka mkuu. Vidonge vya aina yoyote vinatakiwa kutolewa na mtaalamu wa afya na akiwa anamuona mgonjwa ama la ana vipimo vyake.
mjamzito, ama yeyote anaeumwa aende hospitali na ataelekezwa kila kitu
asante sana dada yangu kwa karipio. mimi ni daktari na ninaheshimu na kuthamini sana kazi yangu. lengo la ile comment yangu ilikuwa kutaka kujua kama huyu bwana aliyetoa huu ushauri wa vidonge anaelewa kweli anachoandika. maana hawa ndio watu wanaoshauri wenzao humu,, na watu wanafata ushauri na kudhurika. profession imeingiliwa, na inauma sana kuona wakati wengine wanajenga wengine wanajitahidi kubomoa. medical field is too broad,, and unless one is an expert then they should forever keep their comments to themselves. and,, there is what we call ''medical-legal'' implications,, unaweza kufungwa kwa kutoa publicly information either ambayo si sahihi ama haijitoshelezi na wasomaji ama watumiaji wako wakapata madhara. watanzania ni watu wa ajabu sana,, wanapenda urahisi hata kwenye mambo yanayowahusu personally and directly. hospitali haziko mbali sana siku hizi,, everyone shoulg go there for proper evaluation and work-up. ni hayo tu
Mkuu ZeMarcopolo Usikasirike muache aende kusoma tena si unajuwa elimu haina mwisho?Kwahiyo wewe Mkuyati og unaona kwamba mimi nimevamia profession yako ya udaktari?
Wewe kama ni daktari unayejua hupaswi kushangaa kusikia kuwa kuna vidonge vya hormones kwa threatening abortion.
Lakini look here, hii tabia yako ya kuuliza maswali kwa lengo la kushow off ndio inawafanya wataalam wengine wapotezee hili jukwaa. Mtu anapojibu swali anategemea kuwa swali lililenga kumsaidia mtu sio kupotezeana muda kama ulivyofanya hapa.
Nenda kafungue vitabu usome dawa gani ya hormone anaweza kupewa mtu mwenye threatening abortion, halafu next time uwe na adabu unapokuja kwenye jukwaa hili.
Cc MziziMkavu
Hakuna cha kumlaumu MziziMkavu kwa kuwa yeye husaidia kuweka masuala mengi ya afya na remedies nyingi. Kinachotakiwa kama una tatizo wasiliana na MziziMkavu privately akushauri. Kwa mfano mjamzito na anayenyonyosha kitu chochote cha tiba ni lazima umshirikishe dr kabla ya kula au kumeza. Anayefikiri Dr. MzimziMkavu alikosea kuweka huduma zake hapa JF bila hata malipo hana budi kukaa kimya milele.
Kilicho kfanya uka2mia kitunguu saumu nn!!!??? Tayari ishakuwa THREATEN ABORTION kwa prfssnal yangu ya medcal 90% mimba isha arbika dat s wY 2na ita threten abortion[mimba inayotshia kutoka] chamsngi nikwnda kituo cha afya ufanyiwe MVA method au u2mia MISOPROSTAL TABLE mg 500 +METRONIDAZOLE+AMOXYCILIN ila siku shaur utoe haraka .fanya cormfmatn kwanza!!
Hakuna cha kumlaumu MziziMkavu kwa kuwa yeye husaidia kuweka masuala mengi ya afya na remedies nyingi. Kinachotakiwa kama una tatizo wasiliana na MziziMkavu privately akushauri. Kwa mfano mjamzito na anayenyonyosha kitu chochote cha tiba ni lazima umshirikishe dr kabla ya kula au kumeza. Anayefikiri Dr. MzimziMkavu alikosea kuweka huduma zake hapa JF bila hata malipo hana budi kukaa kimya milele.
Hapa umechanganya kidogo kati ya threatening abortion na inevitable abortion.
Threatening abortion sio lazima mimba itoke au mtu asafishwe. Inevitable abortion ambapo cervix imefunguka ndio matumaini ya survival yanakuwa hakuna na inashauriwa kusafisha.