gharama zako siziwezi? acha kuchekesha dunia wewe.Gharama zako za nini?? Sijawahi ku...na mtu aliezaa wewe. .
Mkuu imekuaje tena? huyu dada mbona nimeona anasema hataki mawasiliano na wewe? au haujamuelewa?
Si nimeshakuambia you are dumb? Unauliza gharama za nini na uliomba nikufundishe kiingereza. Unaona ulivyo akili yako sasa? Hayo mengine ya kuzaa sijui nini yamekujaje hapa? Unaanza kuongea mawazo yako sasa!
usinchoshe
Si nimeshakuambia you are dumb? Unauliza gharama za nini na uliomba nikufundishe kiingereza. Unaona ulivyo akili yako sasa? Hayo mengine ya kuzaa sijui nini yamekujaje hapa? Unaanza kuongea mawazo yako sasa!
usinchoshe
yalinikuta haya kw mkewangu, alitokwa damu 5days nyingi, nikampeleka utrasaund nikaambiwa mimba imeharika, mungu ni mwema, ilemimba haikuharibika, hadi navoonge inamiezi8. nakushauri tulia na pumzika sana.naamini mungu atakusaidia. usikubali kusafishwa utakapo pimwa.
DR Hemu saidia, ethics na codes of conduct zenu zinasemaje? Daktari hawezi kushitakiwa kama ushauri au maelekezo yake yatamdhuru mgonjwa?
Poor me!my baby is gone,thanks kwa mlionishauri,kila kitu kinatokea kwa sababu zake,sitaacha kuihukumu nafsi yangu kwa uzembe niliofanya!hili tukio limenipa somo kubwa sana,may her/his soul rest in peace.
Poor me!my baby is gone,thanks kwa mlionishauri,kila kitu kinatokea kwa sababu zake,sitaacha kuihukumu nafsi yangu kwa uzembe niliofanya!hili tukio limenipa somo kubwa sana,may her/his soul rest in peace.
Poor me!my baby is gone,thanks kwa mlionishauri,kila kitu kinatokea kwa sababu zake,hili tukio limenipa somo kubwa.may her/his soul rest in peace.Pole dada kwa yote yaliyokukuta,Tuwe waangalifu kwa kila tumezacho
ahsante sana
My God !! Pole sana my dear.Lakini tumwachie Mungu.Imetokea tu.Kuna wengine huwa hawajui kuwa ni wajawazito na wanakula vitu hatari lakini mimba hazitoki.Inabidi ufanye uchunguzi zaidi pengine tatizo ni zaidi ya kitunguu saumu
Poor me!my baby is gone,thanks kwa mlionishauri,kila kitu kinatokea kwa sababu zake,sitaacha kuihukumu nafsi yangu kwa uzembe niliofanya!hili tukio limenipa somo kubwa sana,may her/his soul rest in peace.