Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 May 14, 2010 #1 HICHO NDİO CHOO CHANGU Kwa Ndani hapa
Loner JF-Expert Member Joined Mar 12, 2010 Posts 212 Reaction score 11 May 14, 2010 #2 imeka poa sana lakini kumbuka mjini hamna miti tena watu wamekata kwa hiyo uko national park gani?
Anyisile Obheli JF-Expert Member Joined Dec 13, 2009 Posts 3,400 Reaction score 320 May 14, 2010 #3 :angry:
Bigirita Platinum Member Joined Feb 12, 2007 Posts 16,039 Reaction score 7,465 May 14, 2010 #4 Hahahaaaa kama kwetu migombani bin mndenyi! Duh!
Maria Roza JF-Expert Member Joined Apr 1, 2009 Posts 6,803 Reaction score 1,601 May 14, 2010 #5 uharibifu wa miti sasa tumia vitanda vya chuma hehe ehhehhe
Calnde JF-Expert Member Joined Oct 7, 2008 Posts 1,373 Reaction score 278 May 14, 2010 #6 sasa sijaelewa unaishi kwenye vijumba vyote au total yake ndo inafanya makazi yako? anyway its a nice place
sasa sijaelewa unaishi kwenye vijumba vyote au total yake ndo inafanya makazi yako? anyway its a nice place
K Kilian Senior Member Joined Apr 26, 2009 Posts 147 Reaction score 40 May 14, 2010 #7 Unapangisha?:rolleyez:
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 May 15, 2010 Thread starter #8 Kilian said: Unapangisha?:rolleyez: Click to expand... Mku nikipangisha kodi yake utaiweza lakini? Kwa Siku itabidi ulipe Dolla 500 sitaki pesa yenu ya Machungwa nataka dollar ya kimarekani utahitaji kupanga? Mkuu
Kilian said: Unapangisha?:rolleyez: Click to expand... Mku nikipangisha kodi yake utaiweza lakini? Kwa Siku itabidi ulipe Dolla 500 sitaki pesa yenu ya Machungwa nataka dollar ya kimarekani utahitaji kupanga? Mkuu