Ahaaa yaani umenianzishia Uzi kabisa.Jamani huyu mrembo wangu kapotelea wapi? Hata kwenye simu cimpati kabisa
Miss Natafuta popote Ulipo.. You are missedView attachment 3130692
Ahaaa Acha masihara mkuu me mwanamke kabisa Nina k mbiliMbona minajua ni Me...π
Yaani bado napambana na huu mwili .Leo nimekunywa dawa ya kuharisha Niko Tu hapa room yaaniunamuulizia kibonge. hivi amepungua? Mshana Jr
Sina hata boyfriend bna.huweji jua mshana anataka kutangaza niaNaskia Yuko Fungate.... Na jamaa ake ana wivu nyegere arudi shule π
Mkuu si unajua kama nipo .Jana Tu tulikuwa woteHapo ni kumtafuta Kwa UDI na UVUMBA mpaka apatikane
Sisi wahengaHuo msuko maridadi kabisa ila ni wakusaka na tochi siku hizi
Inapatikana wapi ndugu yangu?Yaani bado napambana na huu mwili .Leo nimekunywa dawa ya kuharisha Niko Tu hapa room yaani