SIMBA WA TARANGA
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 987
- 220
=barbequeMsaada plz nipeni maneno yafuatayo in English.
-Chenza= satsuma(sina uhakika..duh)
-Filigisi
-Makongoro
-Kidumu Chama Cha Mapinduzi=kataangalie maana ya neno evil/devil kwenye dictionary ya english-swahili
-Ungo wa kupepetea mchele.
-Chapati
-Mishikaki....
Asante mkuu, inaelekea ni mzoefu wa hoteli za kitaliiMishikaki-Blochet
Kongoro-oxtail soup
KidumuCCM-Viva CCM
Chapati- pan cake
Uko juu bro, You sound like a Dictionary. Nahisi hapa JF hakuna wana chama wa magamba, mbona hawanipi slogani yao in english? kama wapo, basi wote ni akina mwanaasha.Filigisi is chicken Gizzard
Mkuu hii nyingine nimekwama, kumuuliza mtu " Wewe ni wangapi kuzaliwa" in englishIyo ingine aka yake unaweza sema Long live CCM hii huwa inapendwa sana na Macomrades/Camarade