Jamani mmemuona huyu?

Joseph

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2007
Posts
3,518
Reaction score
1,089

Hivi mheshimiwa huyu alikwishawahi kupiga magoti hivi wakati akiwa Waziri?
 
Kipindi cha uchaguzi tegemea lolote lile toka kwa wagombea hasa mambo yakiwa na dalili ya kutokuwa mazuri. Si unasikia wagombea wakitoa shikamoo kwa watoto wa shule waliowatoa madarasani kuja kujaza uwanja wa kampeni
 
View attachment 14165
Hivi mheshimiwa huyu alikwishawahi kupiga magoti hivi wakati akiwa Waziri?

Kweli nchi imekwisha yaani jamaa wameona hela zimeshindwa sasa wameona ni NYUMBA KWA NYUMBA, CHUMBA KWA CHUMBA, KITANDA KWA KITANDA, SHUKA KWA SHUKA na hii nayo kali sikuitegemea kwa Mh, kama huyu tena Dr!!!!!!!!!, ama kweli kuendeleza hii ya GOTI KWA GOTI, inamaana hakuuona huo upuuzi alioufanya mwenzake wa UBUNGO!!!!!!, WANDANGANYIKA tunapaswa TUSIDANGANYIKE!!!!!!!!!!!
 
KURA Bonanza ndo inavyokuwa hivyo.
Kwake kupata aibu ya dakika chache siyo kitu kama weye kupata aibu kwa five years za MICHAKATO na UPEMBUZI YAKINIFU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…