Jamani mnakumbuka enzi hizoo club hizi za starehe zilivyokuwa zinavuma jijini dar...

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Kwa wale ndugu zangu wale tuliokuwepo enzi za ujana wetu....club hizi zilivyokuwa zinavumaaa

1.fm club...pale kinondoni.....

2.club billicass....enzi zile germssion party every sunday...saa nane mchana...

3.silent inn club.....mwenge.....

4.kili time ....sinza..

5.mambo club......msasani

6.free time resort......ukonga

7.kuna club moja ilikuwepo mtaa wa i4..temeke na nyingine ilikuwa mtoni...mnaweza kutukumushaa

8.kuna club moja ilikuwepo kimara baruti....

Pia mnaweza kutukumbusha...baadhi ya club nyingine......
 
Umesahau - Igongwe club, sinza.. enzi hizo madent na maprof wa chuo hadi kuchwele..
 
unanikumbusha arusha......cevu disco,arusha by night,metro....kipindi hicho sisi ndo machekera
 
ha ha sunday billicanas nje jua linawaka watoto wanaruka debe vitoto vinatoka na mabaibui mifuko wanaiweka kwa yule dada wa chooni kulinda mfuko ilikuwa jero.Na wale wakaka wa kariakoo wavaa nguo mpya za dukani na maviatu makubwaaaa kutangaza biasharaaa.
 


yani hapa mimi nilikuwa mdogo sana..enzi hizo niko form one watoto wa azania ilikuwa ndo kiwanja chetu...mimi nilikuwa mwanachama pale wale majaa watatu wa kariakoo nawakumbuka sana tena....yule dada baada ya bills kufugwa nae akapotea yule dada namkumbuka sana alikujaga bills na kundi lao liliitwa tmk unit..badae akaja akapewa kazi chooni ya kuficha vitu vya watu..na nguo...unamkubuka baunsa alikuwa akiitwa terminator...
 
Umesahau - Igongwe club, sinza.. enzi hizo madent na maprof wa chuo hadi kuchwele..

hehee naikumbuka sema mie nilikuwa shule ya msingi...watu walikuwa wanajaa sana
 

ha ha same here wewe ndo cash money au hbc yule dada alirudi tena miaka 3 nyuma nilimuona kazini bills mpaka nikamshangaa why kazi moja miaka yotee??terminator simkumbuki namkumbuka mc HK na ile style ya kukatisha mziki madogo kutambulisha nyimgo zao offcourse enzi zile watoto wa kariakoo,ilala na upanga kwa sana ndo lilikuwa disko letu
 
hilo la talent show club billicanas....enzi hizoo watoto wa kisutu....kila jumapili...kujiacchiaa daa umenikumbusha mbali sana jamani enzi hizoo namuaga baba naenda kusoma kwa rafiki yangu kusoma na begi ndani kuna nguo fupi nikifika bills nabadili ...nguo...teteeee
 

hehehe cash money..hahah cici tulikuwa na kundi letu la sinza star.....ebwana yule dada ntamtafuta sana ..alikuwa mshikaji wangu sana...nakumbuka kulikuwa makundi kibao ya kushake na kudance nakumbuka ikifika mida ile watoto wa wa geti kali....ilikuwa daa acha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…