Jamani mnijuze wale waigizaji maarufu wa FUTUHI wamepotelea wapi?

Jamani mnijuze wale waigizaji maarufu wa FUTUHI wamepotelea wapi?

Dumelambegu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
1,052
Reaction score
257
Akina Babu Kulikombe, wamepotelea wapi? Wanaofahamu watujuze jamani.
 
walimdolewa kimizengwe, ukienda mza utawakuta, wengine wanapiga kitabu
 
Jamaa alikuwaga na mbwembwe na pozi zake za kilyamba lya mfipa
 
Dialo aliwapiga ban baada ya kwenda kufanya tamasha tabora bila ruhusa.
Babumkombe yeye anaendelea na ufundi wake wa masofa hapa mwanza.
Chiko-yeye anapiga shughuli za u mc katika maharusi na sherehe mbalimbali.
Kafuku kaulananga,yeye ameajiriwa barmedaz na anatangaza kipindi cha taarabu.ova
 
Matajiri wa kiswahili kwa roho mbaya mishahara yenyewe laki mtu anataka kuongeza kipato unamtosa,ilihali kipato hicho anachopewa hakilingani na kazi anayoifanya
 
Dialo aliwapiga ban baada ya kwenda kufanya tamasha tabora bila ruhusa.
Babumkombe yeye anaendelea na ufundi wake wa masofa hapa mwanza.
Chiko-yeye anapiga shughuli za u mc katika maharusi na sherehe mbalimbali.
Kafuku kaulananga,yeye ameajiriwa barmedaz na anatangaza kipindi cha taarabu.ova
mzee nambie babu mkombe yupo maeneo yepi nimtafute? nyakato, ghana au wapi?
 
DAH UMENIKUMBUSHA COZ BABU MKOMBE YUKO JUU SANA,ANAJUA KUIGIZA, wenzie nadhani hawakuwa wabunifu zaidi ya kuigana tu na OK
 
DAH UMENIKUMBUSHA COZ BABU MKOMBE YUKO JUU SANA,ANAJUA KUIGIZA, wenzie nadhani hawakuwa wabunifu zaidi ya kuigana tu na OK

BABU MKOMBE,DR CHIKO,KAFUKU!majembe ya ukweli warejesheni bana,mmejaza wazugaji tu hapo futuhi, viwango duni!!!
 
mzee nambie babu mkombe yupo maeneo yepi nimtafute? nyakato, ghana au wapi?

anapatikana maeneo ya kirumba mwembe sangara.ila una hela ya kumpiga ofa?maana jamaa ana mizinga uyo unaweza kimbia.
 
ijumaa saa 3 usiku tazam chanel ten utaona wanakuja kivingine huko........
 
Nilishajiulizaga hilo swali bora hata nimepata majibu kidogo....
 
Back
Top Bottom