Jamani moyo kwanini unamkataa huyu?

Mwambie ukweli tu. Hakuna njia nyingine.
 
Kazi Kubwa Ya MOYO Ni Kusambaza Damu Mwilini Na Wala Haujawahi Kujihusisha Na Mambo Ya Upendo/Mapenzi.

Acha Kuupa Moyo Lawama Kwenye Mambo Yanayohusiana Na Akili.
 
Sasa unakaaje na mtu mda wote huo kama humpendi? Nyie ndo wale mnaowaumiza watoto wa watu afu anakuja kukata tamaa na kuona wanaume wote ni wale wale.
Kuwa muwazi sio kupotezeana mda
 
Naona unajitesa sanaaaa,be a man and tell her the truth,hakuna hata njia moja ambayo utamwambia yenye maumivu ya afadhali lakini ukweli nilazima usemwe mwelezi ili afanye mipango mengine ya maisha,hatolia maisha lakini ukimwambia mapema itamsaidia sana na itakusaidia na wewe..
 
Ni bora umwambie ukweli.ingawa ataumia ila mapenzi ya ku pretend hayafai. Na au umepata mwengine?
 
Ni bora umwambie ukweli.ingawa ataumia ila mapenzi ya ku pretend hayafai. Na au umepata mwengine?
Ki ukweli the way she is sijaridhika naye,unajua KISUKARI kuna mambo fulani unayataka kutoka kwa mwanamke awe nayo sasa naona mitazamo hatuendani,japo ni mzuri kiumbo na anatamanisha kingono but mimi nilimtamani tu sio kumpenda japo kuna ambaye nampenda ila tatizo naye kaolewa
 
Sasa unakaaje na mtu mda wote huo kama humpendi? Nyie ndo wale mnaowaumiza watoto wa watu afu anakuja kukata tamaa na kuona wanaume wote ni wale wale.
Kuwa muwazi sio kupotezeana mda
brother watu wangapi upo nao kwenye mahusiano kwa tamaa tu za kimwili,hii inatokea
 
Unaweza pia kuulazimisha moyo ukampenda.![emoji12] [emoji12]
 
Mwambie tu ajue kuliko kuendelea kumpotezea mda. Ila jaman du. Moyo wa mtu Ni box khaaa
 
Mkuu tatizo nimechewa kumwambia maana nimekaa naye muda mrefu aisee karibu miaka 4
Kwa hiyo miaka yote minne unamkojolea tu mtoto wa watu, kisha leo unasema kuwa hayuko moyoni, kwa hiyo inamana yuko duduni tu?
 
Mkuu tatizo nimechewa kumwambia maana nimekaa naye muda mrefu aisee karibu miaka 4
Mkuu miaka minne yote ulikuwa nae wa nn kama moyo ulikuwa hautaki..Au uliamini iko siku utakuja kumpenda?
 
Kwa hiyo miaka yote minne unamkojolea tu mtoto wa watu, kisha leo unasema kuwa hayuko moyoni, kwa hiyo inamana yuko duduni tu?
kawaida bro hata ww naamini ushawahi ku date na mtu ambaye unamtamani sio kumpenda
 
Mkuu miaka minne yote ulikuwa nae wa nn kama moyo ulikuwa hautaki..Au uliamini iko siku utakuja kumpenda?
Mkuu nilikuwa namtafutia chanjo lakini sijakipata bado mpaka inafikia muda naomba ushauri kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…