Jamani wana jf mi mgeni huku kabisa japo nilikuwa nachungulia kwa mbali, wenyeji jamani nielekezeni mahali pa kutua mizigo yangu mi ni mgeni wenu jamani, nani yuko hapa mlangoni jamani?
Jamani wana jf mi mgeni huku kabisa japo nilikuwa nachungulia kwa mbali, wenyeji jamani nielekezeni mahali pa kutua mizigo yangu mi ni mgeni wenu jamani, nani yuko hapa mlangoni jamani?