Jamani msaada,chenji hairudi

Jamani msaada,chenji hairudi

nictbb

Senior Member
Joined
May 18, 2012
Posts
119
Reaction score
9
wana jamii forum wenzangu,kwanza nashukuru sana,nlikuwa na vidonda vya tumbo,kwa ushauri wa wana jamii forum,sasa nina ahueni,ingawaje bado cijaweza kula vyakula vvyote,nkitumia kitu chochote kilichowekwa nyanya ni tatizo,na nikila wali ni tatizo,ugali na mboga kavu isiyowekwa nyanya,vinapanda bila shida,tatizo lillilokubwa zaidi,nkienda toilet,cpati kubwa kiufasaha,napata kidogo sana,nikila mapapai kidoogo ahueni,nifanyeje wandugu?msaada
 
Sasa ugali na mboga kavu jamani unategemea nini? Unapaswa kula matunda ya kutosha na mboga za majani ambazo hazijaiva vizuri. Hakikisha unakunywa maji ya kutosha pia.
 
wana jamii forum wenzangu,kwanza nashukuru sana,nlikuwa na vidonda vya tumbo,kwa ushauri wa wana jamii forum,sasa nina ahueni,ingawaje bado cijaweza kula vyakula vvyote,nkitumia kitu chochote kilichowekwa nyanya ni tatizo,na nikila wali ni tatizo,ugali na mboga kavu isiyowekwa nyanya,vinapanda bila shida,tatizo lillilokubwa zaidi,nkienda toilet,cpati kubwa kiufasaha,napata kidogo sana,nikila mapapai kidoogo ahueni,nifanyeje wandugu?msaada

Umeanza vizuri kwa kula mapapai. Hizo mboga za majani uzile kwa wingi (na ugali nao pia uugangamalie sio vitonge viwili halafu unategemea kushusha shehena kubwa msalani) zitakusaidia kuwa regular.

Wasiwasi wangu ni kwamba, kwa kuwa unafanya kuchagua kitu cha kula kutokana na maradhi uliyokuwa nayo basi ingekuwa vizuri pia utumie multi-vitamis (off the counter).

Sijui ni dawa gani zilizokupa nafuu. Naomba upate ushauri wa huyo daktari aliekusaidia kama kuna contra-indication ya multi-vitamins na dawa unazotumia.

Mimi sio medical doctor.
 
wana jamii forum wenzangu,kwanza nashukuru sana,nlikuwa na vidonda vya tumbo,kwa ushauri wa wana jamii forum,sasa nina ahueni,ingawaje bado cijaweza kula vyakula vvyote,nkitumia kitu chochote kilichowekwa nyanya ni tatizo,na nikila wali ni tatizo,ugali na mboga kavu isiyowekwa nyanya,vinapanda bila shida,tatizo lillilokubwa zaidi,nkienda toilet,cpati kubwa kiufasaha,napata kidogo sana,nikila mapapai kidoogo ahueni,nifanyeje wandugu?msaada

Kidogo sana inategemea umekula kiasi gani (output = f(a+bInput+e)
Kwa upande wa vidonda sina jibu

Ila kwa hilo tatizo la kupata kiufasaha jaribu kutumia ALOVERA juice huwa inatibu + maji mengi

Pole
 
Back
Top Bottom