obi's
JF-Expert Member
- Dec 24, 2011
- 233
- 40
Jamani habari zenu? Jaman mm kazin kwang nilikuwa naubishi na wenzangu, kuhusu mahusiano ya mapenzi, je wangwana, ni vema m2 kuzungumza / kuwahadithia wenzake juu ya yey katembea na yule huyo, jana kalala na ni, tafadhar naomb mnisadie labda mm nabisha bure!