inategemea na umri na lini umefika mjini....
kama una miezi tu hapa mjini hakuna atakekushangaa au kama ni teenager pia sio cha kushangaza
Kuna watu hata waki. . . . . . asubuhi/lunch time wanatangaza. Ulimbukeni tu.
Jamani habari zenu? Jaman mm kazin kwang nilikuwa naubishi na wenzangu, kuhusu mahusiano ya mapenzi, je wangwana, ni vema m2 kuzungumza / kuwahadithia wenzake juu ya yey katembea na yule huyo, jana kalala na ni, tafadhar naomb mnisadie labda mm nabisha bure!
Ukimuona mtu anatangaza kalala NA Ashura kesho sakina,mchana mwanamvua jioni Aziza ujue anawalakini ndio mana anataka ajisifie ili wamjue kama yeye kidume cha mbegu kumbe huko mwanzo na yeye pia watu walikua wanamguna sasa anafanya hayo ili aonyesha na yeye kwenye Madume ya Mbegu na yeye yumo, mwanamme Rijali hawezi ongea pumba kama hizo kama ni mtu mkubwa..