nilianza kuona dalili za malaria tar 31,kutokana na sehemu niliopo hakuna hosptali kesho yake nikanunu marafini nikanywa ila toka siku hiyo hali imekuwa mbaya kichwa kinauma utosini na kichogoni na homa inapanda sana,jana nikarudi mjini nikaenda hospital wakanipa sindano 3 za qunini na vidonge vyake,swali langu nitumie au maana si muda mrefu nimetumia dozi nyingine.poleni kwa uzi mrefu kuwafanya mjue jinsi ya kunisaidia.
Hio dawa ulotumia mwanzo umesema ni marafini? au malaquin?nilianza kuona dalili za malaria tar 31,kutokana na sehemu niliopo hakuna hosptali kesho yake nikanunu marafini nikanywa ila toka siku hiyo hali imekuwa mbaya kichwa kinauma utosini na kichogoni na homa inapanda sana,jana nikarudi mjini nikaenda hospital wakanipa sindano 3 za qunini na vidonge vyake,swali langu nitumie au maana si muda mrefu nimetumia dozi nyingine.poleni kwa uzi mrefu kuwafanya mjue jinsi ya kunisaidia.