Mke wangu ana tatizo mm niko mbali nae kutokana na shughuli zangu. Ila tokea usiku wa kuamkia leo damu zinamtoka puani mpaka sasa hv hazijakoma ingawaje wamempeleka hospital amechomwa sindano na kupewa dawa za kumeza. Nina wasiwasi jmn maana si kawaida. .nisaidieni tafadhali. Mpk muda huu zinaendelea kutoka
mwambie atafuye pande la barafu....aliwwke ndani ya kitaulo au hata kitambaa then ajikande pua na maeneo ya mashavu..
awe kwa mda hilo barafu karibu na tundu za pua apumulie.
itamsaidia