F fedawa Member Joined Dec 16, 2014 Posts 40 Reaction score 7 Feb 22, 2015 #1 hope wote mu wazma, jaman naombeni mnisaidie hivi kuna dawa za typhoid ambazo husababisha damu kupungua mwilini? hope ntapata majibu mazuri.
hope wote mu wazma, jaman naombeni mnisaidie hivi kuna dawa za typhoid ambazo husababisha damu kupungua mwilini? hope ntapata majibu mazuri.
kalagabaho JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 5,457 Reaction score 5,893 Feb 22, 2015 #2 fedawa said: hope wote mu wazma, jaman naombeni mnisaidie hivi kuna dawa za typhoid ambazo husababisha damu kupungua mwilini?hope ntapata majibu mazuri Click to expand... Unapotaka majibu mazuri basi uliza swali vizuri..mimi nakwambia hivi hizo dawa zipo..unadhani nimekusaidia kwa chochote?
fedawa said: hope wote mu wazma, jaman naombeni mnisaidie hivi kuna dawa za typhoid ambazo husababisha damu kupungua mwilini?hope ntapata majibu mazuri Click to expand... Unapotaka majibu mazuri basi uliza swali vizuri..mimi nakwambia hivi hizo dawa zipo..unadhani nimekusaidia kwa chochote?
F fedawa Member Joined Dec 16, 2014 Posts 40 Reaction score 7 Feb 23, 2015 Thread starter #3 kalagabaho said: Unapotaka majibu mazuri basi uliza swali vizuri..mimi nakwambia hivi hizo dawa zipo..unadhani nimekusaidia kwa chochote? Click to expand... hamna kalagabaho,nimeuliza hivyo kwa sababu ni antibiotic na nimesikia zinamaliza white cells.
kalagabaho said: Unapotaka majibu mazuri basi uliza swali vizuri..mimi nakwambia hivi hizo dawa zipo..unadhani nimekusaidia kwa chochote? Click to expand... hamna kalagabaho,nimeuliza hivyo kwa sababu ni antibiotic na nimesikia zinamaliza white cells.
F fedawa Member Joined Dec 16, 2014 Posts 40 Reaction score 7 Feb 23, 2015 Thread starter #4 Je ni kweli mtu akizitumia sana damu inaweza kupungua? naomba kujua ni dawa zipi?