Ndugu zangu naombeni msaada wenu make mashine yangu inanichanganya kwani nikienda ni dk 3 halafu inalala kuamka tena mpaka baada ya saa 1!! jamani naomba mnisaidie!!
Ndugu zangu naombeni msaada wenu make mashine yangu inanichanganya kwani nikienda ni dk 3 halafu inalala kuamka tena mpaka baada ya saa 1!! jamani naomba mnisaidie!!