Jamani msaada wenu ma daktari!!

Oyono

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2013
Posts
222
Reaction score
35
Ndugu zangu naombeni msaada wenu make mashine yangu inanichanganya kwani nikienda ni dk 3 halafu inalala kuamka tena mpaka baada ya saa 1!! jamani naomba mnisaidie!!
 
Fanya mazoezi,,punguza mafuta ..concentrate on what you do. Jiandae safi punguza utumizi wa kemikali eg soda beers madawa ya kujitibu
 
Ndugu zangu naombeni msaada wenu make mashine yangu inanichanganya kwani nikienda ni dk 3 halafu inalala kuamka tena mpaka baada ya saa 1!! jamani naomba mnisaidie!!

ulishawahi kujichua na ni kwa kiwango gani? Kama jibu ni ndio jaribu kupitia nyuzi mbalimbali zinazoelezea madhara ya kujichua utapata majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…