Juzi jpili nilihudhuria kwenye maombi ya ngurumo ya upako na nabii geor davie ambaye aliendesha maombi kwenye ukumbi wa diamond jubilee kwa kweli yesu anatenda miujiza pamoja na kwamba watu watasema mengi lakini nimeshuhudia kwa macho yangu , mimi sitakiwi kujua anatumia nini na anafanya nini bora anataja jina la yesu natakiwa nisikilize maneno.
Mkutano huo ulitangazwa jmosi jioni lakini watu walijaa ile mbaya na hajatangaza kwenye redio wala gazeti tumeambiwa tupashane habari.
Ni hivi nabii geordavie atakuwa anaendesha maombi yake dar kwa muda wa wiki nne kwa sababu lile eneo alilokuwa anatumia kule kisongo arusha mwenyewe kamnyan'ganya na linanunuliwa na mfanya biashara mmoja arusha kwa hiyo wakati eneo lingine linaaandaliwa atakuwa dar kwa muda huo kuna muumini ametoa eneo la ekari 2 ndo liko kwenye matengenezo kwa hiyo kwa muda huo waumini wa dar tutapokea upako live pale makonde maeneo ya mbezi beach.
Mkutano huo ulitangazwa jmosi jioni lakini watu walijaa ile mbaya na hajatangaza kwenye redio wala gazeti tumeambiwa tupashane habari.
Ni hivi nabii geordavie atakuwa anaendesha maombi yake dar kwa muda wa wiki nne kwa sababu lile eneo alilokuwa anatumia kule kisongo arusha mwenyewe kamnyan'ganya na linanunuliwa na mfanya biashara mmoja arusha kwa hiyo wakati eneo lingine linaaandaliwa atakuwa dar kwa muda huo kuna muumini ametoa eneo la ekari 2 ndo liko kwenye matengenezo kwa hiyo kwa muda huo waumini wa dar tutapokea upako live pale makonde maeneo ya mbezi beach.