Jamani mwenzenu nampenda Juliana Shonza!

Jamani mwenzenu nampenda Juliana Shonza!

Ndala ndefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2012
Posts
237
Reaction score
42
Jamani mapenzi ni kitu cha ajabu sana, huyu binti kila nimwonapo iwe ni katika majukwaa ya kisiasa au mahari popote huwanajisikia faraja na kutamani kumsogelea japo nimwambie hisia zangu juu yake. Naombeni ushauri wenu wanajamvi nifanyeje ili niweze kumfikishia yale yaliyo moyoni mwangu huyu binti? Au mwenye namba zake za simu anisaidie tafadhari sana wapendwa, pia kama huwa anapita kwenye hili jukwaa namwomba ani PM!
 
jitokeze akuone afanye maamuzi
Jamani mapenzi ni kitu cha ajabu sana, huyu binti kila nimwonapo iwe ni katika majukwaa ya kisiasa au mahari popote huwanajisikia faraja na kutamani kumsogelea japo nimwambie hisia zangu juu yake. Naombeni ushauri wenu wanajamvi nifanyeje ili niweze kumfikishia yale yaliyo moyoni mwangu huyu binti? Au mwenye namba zake za simu anisaidie tafadhari sana wapendwa, pia kama huwa anapita kwenye hili jukwaa namwomba ani PM!
 
yupo amejaa tele humu jukwaani! Haya binti wa wenyewe kazi kwako...ukiachia ndege akapuruka shauri yako. Sitaki kuja kusikia ooh mbona mimi siolewi, ooh mimi sina bahati, nk. Kisha uanze kutulia sasa. Mara huku mara kule, nitakutandika! Oooh shauri yako! Usilie lakini binti yangu eeeh!
 
Jinsi ninavyomjua..anaweza kukusaliti hadi kwenye mapenzi. Kwa hiyo uwe na tahadhari hiyo
 
Jinsi ninavyomjua..anaweza kukusaliti hadi kwenye mapenzi. Kwa hiyo uwe na tahadhari hiyo

Ni tabia ya mtu tu!

Mbona wengine wamelisaliti hadi kanisa? Inamaana na hao wanaweza kutusaliti?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Jamani mapenzi ni kitu cha ajabu sana, huyu binti kila nimwonapo iwe ni katika majukwaa ya kisiasa au mahari popote huwanajisikia faraja na kutamani kumsogelea japo nimwambie hisia zangu juu yake. Naombeni ushauri wenu wanajamvi nifanyeje ili niweze kumfikishia yale yaliyo moyoni mwangu huyu binti? Au mwenye namba zake za simu anisaidie tafadhari sana wapendwa, pia kama huwa anapita kwenye hili jukwaa namwomba ani PM!
Anafaa kwa kurumangia, ila hafai kuwa mboga kamili. double click picha kuongeeza size.
View attachment 86170View attachment 86171
 
JMK1.jpg

Hivi huyo kwenye mshale mweupe ni nani naona katoa macho kweli wakati mkulu anamvuta karibu shonza.
 
Huyu binti hana msimamo katika maamuzi yake, hivyo sikushauri kabisa.

Yaani anaweza kukubali Wewe, nikaja mimi kesho nikakubaliwa we ukatoswa.

Nami nikaja kutoswa, penzi akapewa mwingine.
 
amefia wapi??
Kwisha habari, timeshamsahau rasmi mateka uyo,
Ukimpata hakikisha unatumia kinga kwa sababu afya ya Nchemba nina mashaka nayo.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Huu ndio muda,maana Mwigulu Nchemba kaenda jkt kujifunza mbinu kabambe za mauji ya wananchi,
 
Jamani mapenzi ni kitu cha ajabu sana, huyu binti kila nimwonapo iwe ni katika majukwaa ya kisiasa au mahari popote huwanajisikia faraja na kutamani kumsogelea japo nimwambie hisia zangu juu yake. Naombeni ushauri wenu wanajamvi nifanyeje ili niweze kumfikishia yale yaliyo moyoni mwangu huyu binti? Au mwenye namba zake za simu anisaidie tafadhari sana wapendwa, pia kama huwa anapita kwenye hili jukwaa namwomba ani PM!
mimi nilifikiri ni Juliana Kanyomozi, kumbe unamaanisha yule mngese Juliana Shonza
 
Nakushauri ukimpata umpime kwanza.maana hajalala nyumbani kwao ni miezi mitatu sasa amekuwa akiishi nyumba za wageni mikoani na hao maswahiba zake.
 
Back
Top Bottom