Jamani mwenzenu sijielewi

2 pacha

Senior Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
136
Reaction score
44
Jamani wana MMU nilikuwa naomba maoni yenu na ushauri wenu juu ya hili swala. Mimi bwana nashindwa kujielewa kutokana na pindi ninapofanya mapenzi huwa nachukuwa mda mrefu sana mpaka kufka kileleni hata kma ni raund ya kwanza.

Kwa mfano naweza chukuwa hata dakka 45 ktka raund ya 1 na kwa raund ya pili ndo usiseme coz mpenz wangu huwa yeye anapiz hata mara 3 alfu me ndo kwanza nipo kamoja,

NB: nilikuwa naomba kuulza hii inawezakuwa ni tatizo au ni ki2 cha kawaida2 kwa mwanaume?
 
Xmass ulifanya mapenzi? Yanaonyesha feelings zako ziko mbali sana most probably PORN huenda imechangia sana
 
Unapokuwa kwenye action inaonekana unawaza mpasuko wa biashara zako!

Kila jambo lina wakati wake mkuu!
 
mbona hamna haja ya kuogopa mkuu. Labda ungalkuwa hutoi kitu ndo ingekuwa tabu
 
Its a psychological problem,u can overcome it.katafute utaalam kwenye vitabu ama kwa wanasaikolojia.
 
mbona hamna haja ya kuogopa mkuu. Labda ungalkuwa hutoi kitu ndo ingekuwa tabu

Yaani watu tumetofautiana. Mimi mradi bibie kashiba kwangu ni furaha tu. Mimi nifike nisifike sio ishu kabisa.
 
Badilisha Demu, tafuta kitoto kitamuuuuu kinachoridhisha ambacho ukikiangalia tu unajiskia kumwaga.
 
Jaribu kumfikiria yule umpendaye halafu uangalie utofauti
Nalog off
 
mh sijui kwanini naona ka hii post imekaa kama mwandishi anatafuta njia ya kujisifia vile......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…