jamani mwenzenu tumbo linaniuma chini ya kitovu mpaka basi

issa ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
1,319
Reaction score
260
ndugu zangu wapendwa,naombeni msaada mwenzenu tumbo linanikata chini ya kitovu mpaka sijielewi.msaada samahani nifanyeje?
 
Najihusisha na tiba asilia(herbalist) na hilo ni tatizo linaloweza kutibika kwa muda mfupi sana,nipo Shinyanga na kwa mawasiliano zaidi,nitafute kwa nambari 0759947397.
 
Kaka hiyo itakua ni dalili ya ngiri ama chango ugonjwa huu husababishwa na baridi kali na kuoga ama kutumia vyakula/vinywaji venye baridi kwa ushaur zaid wahi hosp.mapema coz laweza kua tatizo kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…