Elections 2010 Jamani mwnaza kunani?

engmtolera

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
5,149
Reaction score
1,441
Kwani si tayari mwanza kuna nini kinaendelea? Tunaomba mtupe habari zaidi,na ikiwezekana waliopo mwanza lindeni kura kwa nguvu zozote zile kwani hata kama kikwete yupo mwanza hatuwezi kuvumulia kunyang'anywa jimbo
peoplesssssss powerrrrrrrrrrrrrrrrrrr


mapinduziiiiiiiiiiii daimaaaaaaaaa
 
watu wanapigwa mabomu na serikali ya kifisadi ya Kikwete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…