FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
tuko hapa kuelimishana,kwa nini utaonekana unadhalilisha wanawake tena???
mwenyewe umesema juzi mkeo alikuwa labour for almost 15 hours,can you imagine the pain..?
ni kweli mie bado na siyajui haya mambo,ila naongea ukweli ikifika zamu yangu kama kuna option nitachagua CS...
nalala nikiamka,namkuta mtoto wangu baaaaaaaaaaaaasi! :teeth::teeth::teeth:
siipendi hii kitu Fab
cause baada ya kujifungua unaanza kuuguza majeraha unakuta wengine matumbo yanagoma kurudi normal
No way. napenda uupitie uchungu maana hata bible imeandikwa mwanamke atazaa kwa uchungu hili ni jukumu letu sweetheart
First Lady sio wote wanapenda kwa kuchagua na alaaaniwe huyo achaguaye!
siipendi hii kitu Fab
cause baada ya kujifungua unaanza kuuguza majeraha unakuta wengine matumbo yanagoma kurudi normal
No way. napenda uupitie uchungu maana hata bible imeandikwa mwanamke atazaa kwa uchungu hili ni jukumu letu sweetheart
Dear JF sisters n bros....( wakuchakachua, kuchakachuliwa na kuchakachuana),
Jamani tukiendelea kumuombea Teamo na kabinti kake, Da Sophy na kadume ( another heartbreaker ahahha), may I send this request to you all.... safari yangu pia imefikia ukingoni. I have a scheduled CS for next wk tuesday 14thdec asubuhi saa mbili InshaAllah. CS due to medical reasons, I wd have loved to push....lakini ndivyo hivyo!
So plz nawaombeni mnikumbuke tu! Thanks a bunch!!:hug::hug::hug:
😛reggers: Next tuesday :baby: wewe na baba watoto :hug: neksti year :bathbaby: 2012 😛reggers: again ..................:amen:
"Mola wangu Mlezi! Mpe mja wako huyu kutoka kwako uzao mwema. Wewe ndiye unaye sikia maombi... Ewe Mwenyezi Mungu hakuna jepesi ila ulilolifanya jepesi, nawe unalifanya gumu jepesi ukitaka... Mwenyezi Mungu akibariki atakacho kupa na umshukuru aliyekupa, na afike kuwa mkubwa mtoto wako na uruzukiwe wema wake"Dear JF sisters n bros....( wakuchakachua, kuchakachuliwa na kuchakachuana),
Jamani tukiendelea kumuombea Teamo na kabinti kake, Da Sophy na kadume ( another heartbreaker ahahha), may I send this request to you all.... safari yangu pia imefikia ukingoni. I have a scheduled CS for next wk tuesday 14thdec asubuhi saa mbili InshaAllah. CS due to medical reasons, I wd have loved to push....lakini ndivyo hivyo!
So plz nawaombeni mnikumbuke tu! Thanks a bunch!!:hug::hug::hug:
"Mola wangu Mlezi! Mpe mja wako huyu kutoka kwako uzao mwema. Wewe ndiye unaye sikia maombi... Ewe Mwenyezi Mungu hakuna jepesi ila ulilolifanya jepesi, nawe unalifanya gumu jepesi ukitaka... Mwenyezi Mungu akibariki atakacho kupa na umshukuru aliyekupa, na afike kuwa mkubwa mtoto wako na uruzukiwe wema wake"
Amin
mnh labda wewe dada dini imekukaa sana kila linaloandikwa kny bible unalitilia manani,mie siko hivyo,i believe jambo la kuongeza mtoto kny familia liwe la furaha,na upatikanaji wa huyo mtoto usiwe wa shida kufanya trauma....
kuhusu matumbo kutorudi kuwa normal,ni jinsi mwanamke atakavyoji care baada ya kujifungua,it has nothing to do with operation!nawajua watu kibao waliojifungua kwa njia ya kawaida na matumbo yao kubaki makubwa...
na pia nimeona wazungu wengi wanajifungua kwa njia ya CS, na population yao in average size wana matumbo madogo compare na sisi waafrica tunaojifungua kwa njia ya kawaida!
Haya Binti Fab nakuombea Sana ukipanga kujipatia babie na iwe kama upendavyo.
Haya Binti Fab nakuombea Sana ukipanga kujipatia babie na iwe kama upendavyo.
Asante FL1.be blessed.