WanaCHADEMA HAKUNA KULALA, VIJANA TUJITOKEZE KUCHUKUA MAJIMBO AMBAYO YANAONGOZWA NA VIHIYO WA CCM. MIE NGUVU ZANGU NIMEZIELEKEZA BABATI MJINI MWAKA 2015. WASOMI TUSIPENDE KUNG'ANG'ANIA MJINI, TUJITOKEZE KWA WINGI KULETA CHANGAMOTO YA MAENDELEO, NA MJUE VIJANA NI TAIFA LA LEO.
KWA KUANZIA, TUWAHAMASISHE VIJANA AMBAO NI ASILIMIA 80 YA WATANZANIA KUJIANDIKISHA NA KUSHIRIKI KUPIGA KURA.
Nakushauri uwe FIT..... maana unaweza kuchakachuliwa na hali ikiwa TETE utajikuta umelazwa baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi..
nakuunga mkono....mimi najipanga kugombea udiwani 2015....2020 nitakuwa mbunge rasmi.....kwa tiketi ya chadema ofcoz......jimbo nitakabidhiwa na mheshimiwa Lema
nakuunga mkono....mimi najipanga kugombea udiwani 2015....2020 nitakuwa mbunge rasmi.....kwa tiketi ya chadema ofcoz......jimbo nitakabidhiwa na mheshimiwa Lema
Mpiganaji Lema ndiyo sisi tumemchagua upo na mimi sawa kabisa, mie nililalia masanduku ya kura mpaka asubuhi, nilinakili mpaka namba ya seal iliyotumika kufunga masanduku.
pamoja mkuu......tutahakikisha sasa tumeshirikiana na vijana (kuanzia madiwani) mpaka kwa muheshimiwa mbunge ili wachakachuaji wakose cha kusema....najua wanasubiri mapungufu......hilo limekula kwao
Naenda kuanzisha miradi ya maendeleo katika kata yangu Getar na Haydom. Ninaandaa mipango ya miaka mitano ijayo. Maeneo muhimu ni mazingira, kuanzisha mafunzo ya ujasiriamali, makazi bora vijijini, Kilimo na ufugaji wa kisasa.
Jambo lingine ni uanzishaji wa elimu ya uraia katika vijiji mbalimbali katika kata hizo mbili.
Wakitaka mimi kugombea nitakuwa tayari, ila malengo yangu nikuwahamasisha watu kujileta maendeleo wanayoyataka.
KWA KUANZIA, TUWAHAMASISHE VIJANA AMBAO NI ASILIMIA 80 YA WATANZANIA KUJIANDIKISHA NA KUSHIRIKI KUPIGA KURA.
nakuunga mkono....mimi najipanga kugombea udiwani 2015....2020 nitakuwa mbunge rasmi.....kwa tiketi ya chadema ofcoz......jimbo nitakabidhiwa na mheshimiwa Lema
Mwenyekiti wa Nec 2015 atakua jaji Riziwani. Amepata uzoefu wa kutosha kwenye kuchakachua kura.