Jamani nahitaji kufahamu biashara hizi mbili tu tafadhalini nisaidieni

Jamani nahitaji kufahamu biashara hizi mbili tu tafadhalini nisaidieni

MWANANCHI MUSOMMMA

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
328
Reaction score
50
HABARI WANANCHI WENZANGU...
JF ndio kimbilio langu,naam nahitaji kufahamu biashara hizi mbili ili nami nianze kidogokidogo nitashukuru kama nitasaidiwa tafadhalini| nahitaji kufahamu kuhusu hizi:
1.BIASHARA YA KUKOBOA KUSAGA KUPACK NA KUUZA UNGA |SEMBE
2.BIASHARA YA STATIONARY|KUUZA LINE&VOCHA MBALIMBALI IKIWEZEKANA NA O ICT USED EQUIPMENT&PHONES........
TAFADHALINI NAOMBENI MSAADA NA KIANZIO KINAWEZEKANA KUWA KIASI GANI TAFADHALINI......
KWA YEYOTE MWENYE UFAHAMU TAFADHALINI NAOMBENI MNITAFUTENI HAPA HAPA|INBOX PIA MNARUHUSIWA TAFADHALINI MAWAZO YENU NDIO TEGEMEO
[0]+255-657-740-797
 
....hata mimi ninahitaji msaada!
Nina kama 30m ninataka kufungua duka la Vifaa vya Ujenzi , nilifingulie wapi ktk Manispaa za dar hii?
 
....hata mimi ninahitaji msaada!
Nina kama 30m ninataka kufungua duka la Vifaa vya Ujenzi , nilifingulie wapi ktk Manispaa za dar hii?

Labda uwe selective mkuu kwa pesa hiyo. Naimani gharama zote fremu,,tra,upuuzi wote utakula si chini ya 5m. Hapo unaweza uza bidhaa tano effective mfano tiles/marumaru tafuta mzalishaji Twyford au Goodone weka 8m chukua bidhaa,misumari yoote chukua kwa 1m,bati weka 7m,rangi 5 tafuta mzalishaji zinazobaki weka bidhaa ndogo ndogo. Angalia bidhaa zinazotoka zaidi kwenye eneo lako,usisahau nondo.
Japo ningekuwa mie ningekushauri ununue mtambo wa tofari za block,vigae na blocks zenye maumbo mbalimbali na (hydrafoams.hapa utapiga mpunga fastaa):jifunze tafuta mhandisi akupe formula,, tafuta site tafuta vijana fukuzia order utamake kama haupo vile.
 
HABARI WANANCHI WENZANGU...
JF ndio kimbilio langu,naam nahitaji kufahamu biashara hizi mbili ili nami nianze kidogokidogo nitashukuru kama nitasaidiwa tafadhalini| nahitaji kufahamu kuhusu hizi:
1.BIASHARA YA KUKOBOA KUSAGA KUPACK NA KUUZA UNGA |SEMBE
2.BIASHARA YA STATIONARY|KUUZA LINE&VOCHA MBALIMBALI IKIWEZEKANA NA O ICT USED EQUIPMENT&PHONES........
TAFADHALINI NAOMBENI MSAADA NA KIANZIO KINAWEZEKANA KUWA KIASI GANI TAFADHALINI......
KWA YEYOTE MWENYE UFAHAMU TAFADHALINI NAOMBENI MNITAFUTENI HAPA HAPA|INBOX PIA MNARUHUSIWA TAFADHALINI MAWAZO YENU NDIO TEGEMEO
[0]+255-657-740-797

Upo wapi ili tujue,mahitaji na malighafi unaipata wapi.unataka pack sembe,ngano au lishe? Tuanzie hapo tutaanza kupiga hesabu na kupeana namna kulingana na mtaji na upatikanaji wa malighafi/sehemu ulipo.
 
we mwenye 30m twende mozambique tukapige hela mpaka mwenyewe ushangae,nicheck kupitia 0718375766
 
Upo wapi ili tujue,mahitaji na malighafi unaipata wapi.unataka pack sembe,ngano au lishe? Tuanzie hapo tutaanza kupiga hesabu na kupeana namna kulingana na mtaji na upatikanaji wa malighafi/sehemu ulipo.
uwe unasoma vizuri kabla ya kuchangia sio unachangia tu. inamaana unataka kusema hapo juu haajaandika kuwa anataka kupack unga wa aina gani au una uliza tu kwakuwa unajua kutype??
 
....hata mimi ninahitaji msaada!
Nina kama 30m ninataka kufungua duka la Vifaa vya Ujenzi , nilifingulie wapi ktk Manispaa za dar hii?

Changia maada husika nasio kuweka upuuzi wako hapa, kama unataka mawazo fungua thread yako sio unadandia tu hovyo hovyo
 
HABARI WANANCHI WENZANGU...
JF ndio kimbilio langu,naam nahitaji kufahamu biashara hizi mbili ili nami nianze kidogokidogo nitashukuru kama nitasaidiwa tafadhalini| nahitaji kufahamu kuhusu hizi:
1.BIASHARA YA KUKOBOA KUSAGA KUPACK NA KUUZA UNGA |SEMBE
2.BIASHARA YA STATIONARY|KUUZA LINE&VOCHA MBALIMBALI IKIWEZEKANA NA O ICT USED EQUIPMENT&PHONES........
TAFADHALINI NAOMBENI MSAADA NA KIANZIO KINAWEZEKANA KUWA KIASI GANI TAFADHALINI......
KWA YEYOTE MWENYE UFAHAMU TAFADHALINI NAOMBENI MNITAFUTENI HAPA HAPA|INBOX PIA MNARUHUSIWA TAFADHALINI MAWAZO YENU NDIO TEGEMEO
[0]+255-657-740-797

Mkuu biashara ya stationary/kuuza vocha,line,m-pesa inalipa sana huku niliko
 
uwe unasoma vizuri kabla ya kuchangia sio unachangia tu. inamaana unataka kusema hapo juu haajaandika kuwa anataka kupack unga wa aina gani au una uliza tu kwakuwa unajua kutype??

Sawa mkuu nimekuelewa nitazingatia. H a ha ha
 
A.nawashukuru nyote b.supu ya mawe nashukuru kwa mchango wako kiongozi...
C.bado nahitaji msaada wakuu
d. Nahitaji mahindi kutoka dodoma| kilosa kwani ndio mazuri [ushauri wa wajasiriamali wenzangu wa manzese&ubungo dsm] nipo tayari kununua kilo 300/= magunia jumla kumi......
 
Back
Top Bottom