Jamani nani anayemfahamu Daktari wa Kwanza wa Meno Mtanganyika pale Muhimbili?

Jamani nani anayemfahamu Daktari wa Kwanza wa Meno Mtanganyika pale Muhimbili?

trachomatis

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2011
Posts
3,758
Reaction score
744
Huyu mzee bado yupo. Dentists wanamwita Father of Dentistry. At times nahisi ni vema wataalamu kama hawa wakafuatwa na media na kupata kufahamu experience zao na maoni katika nyanja mbalimbali za utaalamu wao. Na huyu si mwingine...ni Dr. R.Muya.
 
Back
Top Bottom