Me Jana Nimechek Katika Tovuti Sijaona Tangazo..Lakn Nilivyoulza Kupitia Google Nilipata Maelezo Kuhusu Nafasi Za Masomo Na Namna Ya Kutuma Maombi Kwamba Nilazma Iwe Kwa Mtandao, Lakin Juu Ya Suala La Uchangiaji Wake Katka Malipo Ya Forms Ndo Wamenchanganya..! Na Kunamchangiaj Mmoja Amentia Wasiwas, Anasema "mnataka Kutulia Hela Zetu Kwan Sijaona Kitu Kama Hcho Kwenye Tovuti Ya Wizara Ya Afya" Ila Kama Upo Dar Twaweza Enda Wizaran