Jamani naomba kuyajua maneno aliyoyaongea Tambwe Hizza jana kwenye kongamano la katiba mpya.

mfukunyunzi

Senior Member
Joined
Mar 4, 2011
Posts
142
Reaction score
26
Hivi ni maneno gani aliyoyaongea ndugu tambwe hizza mpaka kusababisha watu wamzomee vile? Ningependa kuyajua maana niliona kwa kifupi sana kwenye habari ya TBC jana usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…