jamani naomba msaada.mtu akisoma CBG anaweza kusoma Medicine(MD)

Joined
Apr 17, 2013
Posts
38
Reaction score
2
chuo cha afya Bugando kuna watu wanasoma MD na a level alisoma CBG.....so inawezekana hii kitu...

msaada wenu wana jF....
 
Hata upate one ya 3 Muhimbili husomi, labda St. John's na Bugando
 
huwezi soma sabab huna physics kwenye combination yako
 
unasoma ila si muhimbili vyuo vingine Tz vinavyotoa hiyo kozi utasoma!
 
cjawahi kumuona daktar wa CBG labda doctor wa mifugo!

nilipokuwa kijijini nilisema hivyo kama wewe 'hakuna baiskeli inayotumia petroli' Nipo mjini sasa hivi, jirani yangu ana 'Hero' inatumia petroli na bado inaitwa 'baiskeli'
Ninataka kukwambua hivi: mawazo ya mtu ni sawa na boksi alimojifungia. CBG wanaosoma au waliosoma MD wapo wakutosha.
 

kaka una akili sana....kila siku nawaambia hawa mbulula hakuna kinachomshinda CBG kusoma MD na mimi ni mfano hai....
 
chuo cha afya Bugando kuna watu wanasoma MD na a level alisoma CBG.....so inawezekana hii kitu...

msaada wenu wana jF....

niliingia kukusaidia lakini nimegundua swali lako ni la kiumbea kuliko la kutafuta msaada. Anyways - CBG inakutosha kusomea MD -- hakikisha una pass nzuri hatutaki madaktari vilaza.
 
huwezi soma sabab huna physics kwenye combination yakao
Acha kukariri kijana nani amekwambia Physics ina application kwenye Medicine hata kidogo,MUHAS wameeka vile ili kuongeza competition nenda Bugando au njoo hapa Kairuki uexperience ze difference
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…