Jamani Naomba Msaada Nikivua Nguo (t Shirt) Inapiga Shoti.

Ofcoz, namtania MziziMkavu. Lakini namshangaa pia kuwa hajui hii manake ni physics ya primary skuli kama sio ya o-level! Actually hata mosquito net huwa zinafanya hivi (ndo maana olyset from kisongo kamjibu vizuri)
 
Last edited by a moderator:
Hiyo nguo imetengezwa na nyuzi za hariri na sio pamba(Cotton),pamba ndio nguo ya kiwango cha juu,ndio maana siku hizi hatuishi magonjwa ya ngozi kwa kuvaa nguo za nyuzi za palstic
 
Leo mmenifanya ni cheke mpaka nikatoa machozi,Mleta mada kwa kweli unavituko ila ndio hivyo ndugu Olyster amekujibu vyema usiwe na wasi ni aina ya nguo unayo vaa ndio inasababisha kusikia aina ya sauti kama cheche wakati unaivua.SweetLady na jibu lako umenivunja mbavu......
 
Hiyo kawaida sana mi inantokea kwenye shuka ndio linapiga short
 
Mhh hiyo nguo usiivae ukiwa kituo cha mafuta waweza kulipuka kaka!!
 
Pole sana, je ni T-Shirt tu au na nguo nyingine kama ..!.. nayo pia? Kama ushauri na maelezo kutoka kwa wadau lakini pia jaribu kuangalia kinyumbani (utamaduni) kwa sangoma!
 
Kufuli unzo vaa vipi hazipigi hayo
mashoti watu tuje piga kazi???
 
Mkuu inapiga cheche na kuziona sparkling kabisa au unasikia sauti kama ya cheche?
 

Hili ndilo jibu la kweli, kama huamini tumia tshirt ya pamba utaona mabadiliko, ni polsternyingi inaonyesha cheche lkn c moto kama unavyo dhani.
 
Inaeonekana ulivyokuwa mdogo ulimeza betri za BINSLUM zile za magari makubwa kama scania.
 
hata mimi aisee but in some tshirt sio zote...
 
Jamani Si Utani Ninatatizo Kila Nikivua Tshirt Inatokea Cheche Kama Vile Kupiga Shoti Je Hii Ni Nini?

Jaribu kuvaa Tshirt ambayo material yake ni cotton tu, utagundua kuwa huna tatizo lolote. Hiyo inaitwa static electricity, hutokea pia kwa kuchana nywele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…