Tainya
Senior Member
- Feb 21, 2016
- 178
- 92
habari za saizi wana jamvi..
hope wote ni wazima..
mim ni kijana nipo nasoma chuo mwaka wa tatu
nimepata pesa tsh. 1000000 nlikuwa nahitaj biashara ya kufanya ili nijiongezee kipato ili hata ntapomalza chuo niwe na shughuli ya kujishugulisha
NB:
now nipo field hadi mwezi wa saba.......hope ushauri wenu utasaidia kuwa na maamuzi sahihi
hope wote ni wazima..
mim ni kijana nipo nasoma chuo mwaka wa tatu
nimepata pesa tsh. 1000000 nlikuwa nahitaj biashara ya kufanya ili nijiongezee kipato ili hata ntapomalza chuo niwe na shughuli ya kujishugulisha
NB:
now nipo field hadi mwezi wa saba.......hope ushauri wenu utasaidia kuwa na maamuzi sahihi