Kwa sasa upepo sio mzuri sana, jitahidi kuibana hiyo pesa na ikiwezekana ongezea kidogo ili upepo wa biashara utakapokuwa mzuri uweze kufanya biashara vizurihabari za saizi wana jamvi..
hope wote ni wazima..
mim ni kijana nipo nasoma chuo mwaka wa tatu
nimepata pesa tsh. 1000000 nlikuwa nahitaj biashara ya kufanya ili nijiongezee kipato ili hata ntapomalza chuo niwe na shughuli ya kujishugulisha
NB:
now nipo field hadi mwezi wa saba.......hope ushauri wenu utasaidia kuwa na maamuzi sahihi
Mkuu mm naish dar na nlikuwa nafkiria kama kuingia kweny biashara ya nafaka coz demand yake nazan ni kubwa kwa hapa jijinunaishi wapi?maana biashara pia inaendana na population yani idadi ya watu(wateja)
ww mbali na kuwa na hiyo pesa una wazo gani maana biashara muhimu kuwa na wazo kwanza then pesa kufanikisha wazo lako asante