Hii nayo yaweza kuwa n sababu mojawapoKwa picha haraka haraka hapo ni kwamba humfikishi kileleni kwenye mapenzi!!! japo unampa hela sijui na nini lakini kwenye kufanya tendo pendwa unaonekana ni zero kama sio sifuri ndio maana anasema una mnyanyasa halafu hataki kuwa wazi, pia anahisi kwamba uzembe wako kwenye mapenzi labda unakuwa umeshafanya huko nje ndio maana ukija kwake una under perform
Hii comment ndio imenifanya nione kumbe tatizo umri!Mwaka mmoja sasa sikuwahi kuwa na tabia ya wanawake nje maana tuliwekeana ahadi tangu mwaka 2014 tulivyomaliza form four akaenda chuo cha nursing nami nikaenda form five nilipomaliza form six tukaanza harakati za kuishi pamoja na mpaka sasa ndiyo tuna mwaka mmoja na hiyo tabia sikuwa nayo
Maelezo yamejitosheleza[emoji106]Kwa picha haraka haraka hapo ni kwamba humfikishi kileleni kwenye mapenzi!!! japo unampa hela sijui na nini lakini kwenye kufanya tendo pendwa unaonekana ni zero kama sio sifuri ndio maana anasema una mnyanyasa halafu hataki kuwa wazi, pia anahisi kwamba uzembe wako kwenye mapenzi labda unakuwa umeshafanya huko nje ndio maana ukija kwake una under perform
huyo sio kaka ni dada chikiraHilo nalijua Sana kaka lazima nichambue lipi la kunijenga na lipi la kutonijenga
Kwa swala la kumpiga huwa akikuta ni kama nimechukia utasikia ukinipiga tu namwambia bosi wako tuone Kama utaendelea na kazi na ni kweli nikithubutu kumpiga akienda kwa bosi lazima nishitakiwe na kuweka tabia mbaya kwa bosi wangu kwamba nampiga mke wangu ndipo nakuta mmmmh nikimzaba kofi ataenda kwa bosi so nabaki kunyamaza tu
haahahahah, mwambie, mwambie mie sio kaka. Kama vipi nichukue nafasi ya huyo anayemringia mringia, wahitaji tupo hahahahahha.huyo sio kaka ni dada chikira
hahahhhh ebu chukua nafasi umliwazehaahahahah, mwambie, mwambie mie sio kaka. Kama vipi nichukue nafasi ya huyo anayemringia mringia, wahitaji tupo hahahahahha.
Good afternoon Shunie
me anfikir jamaa pale juu katoa poijt xana mana huwez jua una mnyanyas kwa jinc gani kma ww unaon upo sawa kwake basi cha kufanya boresha mechi zako ziwe za ukweli nafikir ndo hicho ila anaogop kukuambia and also huyo rafiki ako mchunge huenda anakuzidi kete ndo mana mkeo anakuzungikia mbuyu kwakeKwa ujauzito hana labda hilo
Kimjazacho mtu ndicho kimutokacho nimekuwa nikimwambia mara kwa mara kwamba au unapenda kutoka wanaume wengine maana huwezi ukawa unaniambia nina tabia mbaya na wakafikisha sioni nina tabia gani mbaya