Jamani naombeni mbinu za kumtania mtu wangu,yaani siwezi utani kabisa,niko serious.

ha ha ha, haya mambo hayalazimishwi
unaweza ukaharibu zaidi.

Kuwa ulivyo ni rahisi zaidi kuliko kuigiza.

 
Kama mawaziri ni ngereja na jamii yake yawezekana usiwe mchekeshaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…