Gody
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,246
- 413
Habari za jioni wanajavi?
Jamani kwa upande wangu naomba msaada wa kujua,ushauri,tiba nk kuhusu swala la mbegu za kiumeCsperms) naomba kujua namalizaje matatizo yafuatayo:-
1- kama mbegu ni chache nifanyaje ili ziongezeke yaani nitumie nini ili ziongezeke??
2-Pia na kama ni nyepesi nifanye au nile nini ili ziongezeke??
3-Na la mwisho na kama mbegu hazina speed na hapa pia naomba mnisaidie wadau ??
Jamani ila mimi sjui naweza kuwa labda
ningeuliza swali moja lingejb yote lkn naomba nifunguke kirefu kiivo!!!
Wale tiba mbadala nawahitaji sana lkn skufungi wewe hosptali kama kuna dawa unayoiamini you can help!!!
msaada wenu plz!!
NAWASILISHA!!!
Jamani kwa upande wangu naomba msaada wa kujua,ushauri,tiba nk kuhusu swala la mbegu za kiumeCsperms) naomba kujua namalizaje matatizo yafuatayo:-
1- kama mbegu ni chache nifanyaje ili ziongezeke yaani nitumie nini ili ziongezeke??
2-Pia na kama ni nyepesi nifanye au nile nini ili ziongezeke??
3-Na la mwisho na kama mbegu hazina speed na hapa pia naomba mnisaidie wadau ??
Jamani ila mimi sjui naweza kuwa labda
ningeuliza swali moja lingejb yote lkn naomba nifunguke kirefu kiivo!!!
Wale tiba mbadala nawahitaji sana lkn skufungi wewe hosptali kama kuna dawa unayoiamini you can help!!!
msaada wenu plz!!
NAWASILISHA!!!