ni hivi, nilikuw nawashwa sehemu sasa kwa bahati mbaya nikajikuna had kukatokea mchubuko! nikajua kutakauka but naona kumegeuka kidonda! na kinazidi kuwa kikubwa!
mmh! unanitisha ndugu! sio kikubwa sana cha kutisha wangu! nahisi ni kwa sababu ya joto tu coz kipo kwa mgongoni ndo maana nikaoma dawa ya kukausha kwa anaeijua
ni hivi, nilikuw nawashwa sehemu sasa kwa bahati mbaya nikajikuna had kukatokea mchubuko! nikajua kutakauka but naona kumegeuka kidonda! na kinazidi kuwa kikubwa!