jamani naombeni msaada wa kisheria

jamani naombeni msaada wa kisheria

combra

Senior Member
Joined
May 28, 2012
Posts
130
Reaction score
31
naomba kwa mtu yeyote anayekijua kile kifungu kinacho onyesha sheria inakuwa into action tu baada ya kuchapishwa au kutangazwa kwenye vyombo vya uma!mana kuna bosi wetu anasema hana habari kuhusu mishahara mpya bado hajapata taarifa toka serikalini.natanguliza shukran zangu.
 
Back
Top Bottom