JAMANI NAOMBENI MSAADA WENU

Kwani Kuna mtu ameandika una fanya biashara ungeandika pm basi Weka namba nikulushie mimi mwanamke mwenzio usihofuu 🤣🤣🤣🤣

Nishasema MTU ambeye yupo serious aje PM
 
Hapana dada nimekwama yanii majii yamenifika shingoni me sipendi kijidhalilisha
Inabidi lianzishwage jukwaa maalum kwa ajili ya kuomba vocha, lifti, nguo za sikukuu kwa asienazo , hela za viatu, waliopungukiwa ada mpaka kodi za nyumba nadhani lingesaidia sana sababu kila kunavyokuchwa wenye shida wanaongezeka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole yake kwani lazima anitumie number kama wasi x2 wake ni hiyo anatuma number za vocha pm
Hana mantiki hiyo ... ana maanisha wewe ni usalama wa taifa ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…