Jamani naombeni ushauri kuhusu hili

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
6,736
Reaction score
10,669
Dada yangu anatatizo la macho kuvimba hadi kufunga macho pindi aamkapo asubuhi ikiambatana na kichwa kuuma, na shingo akinawa na maji ya chai au vuguvugu na chumv kidogo yana poa hili ni tatizo gan jaman!
 
Dada yangu anatatizo la macho kuvimba hadi kufunga macho pindi aamkapo asubuhi ikiambatana na kichwa kuuma, na shingo akinawa na maji ya chai au vuguvugu na chumv kidogo yana poa hili ni tatizo gan jaman!
mpeleke hospital mkuu ila dalili hizo kwa ninavyofahamu itakuwa bp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…