kwanza napenda kuwasalimu.na poleni kwa majukumu.Nimekuja hapa jukwaan kuomba msaada wa mawazo.Mimi ni mwajiriwa wa serikali(mwl) kipato changu hakikidhi mahitaji yangu ya kila cku.napenda sn kijishughulisha lkn bado cjapata pa kujishikiza walau niingize ht 1000 kwa cku ktk muda ule ninapotoka kazni jion.naomba ushaur wenu.nipo MOSHI.