Jamani Nape na Wassira haya yote yametoka wapi Tena?

Jamani Nape na Wassira haya yote yametoka wapi Tena?

iPad ya Apple

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
322
Reaction score
126
Nimewaona hawa makada wakiwaelekeza kiujanjaujanja Vijana wa ccm wa mkoa wa DSM kuhusu maoni ya Rasimu ya Katiba .

Tusipoangalia hii Katiba itakuwa ni Katiba ya ccm badala ya Kuwa Katiba ya Nchi. Je ni nani anaweza kutoka hadharani na kusema wale si baadhi ya wajumbe wa Baraza la Katiba.

Swali la Jana tu la kipimo joto lilisema. Viongozi wanaowaelekeza wananchi nini cha kusema Kwenye mabaraza ya Katiba,

Je, wanajua na kuheshimu uhuru wa wananchi kuhusu haki ya mawazo?

Judge Joseph Warioba amekuwa akipiga kelele kuwaasa wana siasa na taasisi za kiraia Kutowasemea wananchi AMA kuwafundisha nini cha kusema,

Kwenye Rasimu ya Katiba.

Source Taarifa ya Habari ya ITV.
 
heee mbona unauliza majibu dogo?! hujui 96%ya wajumbe wa mabaraza ya katiba ni CCM? Sioni namna ya kutengeneza katiba kwa kuwaweka CCM pembeni siioni! Labda tukadai kwa chopa kama Dj alivyoahidi..

QUOTE=iPad ya Apple;6936569]Nimewaona hawa makada wakiwaelekeza kiujanjaujanja Vijana wa ccm wa mkoa wa DSM kuhusu maoni ya Rasimu ya Katiba .

Tusipoangalia hii Katiba itakuwa ni Katiba ya ccm badala ya Kuwa Katiba ya Nchi. Je ni nani anaweza kutoka hadharani na kusema wale si baadhi ya wajumbe wa Baraza la Katiba.

Swali la Jana tu la kipimo joto lilisema. Viongozi wanaowaelekeza wananchi nini cha kusema Kwenye mabaraza ya Katiba,

Je, wanajua na kuheshimu uhuru wa wananchi kuhusu haki ya mawazo?

Judge Joseph Warioba amekuwa akipiga kelele kuwaasa wana siasa na taasisi za kiraia Kutowasemea wananchi AMA kuwafundisha nini cha kusema,

Kwenye Rasimu ya Katiba.

Source Taarifa ya Habari ya ITV.[/QUOTE]
 
Lakini tukivuta kumbukumbu juzi tu wakati Bunge likiendelea, tulielezwa na upinzani mtandao unaondelea juu ya ushawishi katika suala la katiba unaoendeshwa na Chama chetu Tawala. Viongozi wake wakapaa hewani na kukanusha kuwa wao hawahusiki na hicho kinachosemwa na wanasingiziwa, Leo yanaongelewa wazi wazi na kila mmoja anayaona.

SWALI:
1. JE UPINZANI WALIYOSEMA HAYO TANGU MAPEMA WALITUDANGANYA AU WATAWALA HAWA NDIO WANATUDANGANYA?
2. JE TUWAAMINI KAULI ZA WAPINZANI AU HAWA WATAWALA JUU YA AMBACHO KILA MMOJA ALIONGEA?
3. JE WAKIONGEA SASA NA SIKU ZIJAZO TUENDELEE KUAMINI WAPI? "WAPINZANI AU WATAWALA?
 
Back
Top Bottom