quimby_joey JF-Expert Member Joined Nov 2, 2010 Posts 390 Reaction score 165 Nov 2, 2010 #1 Waungwana naomba kujuzwa matokeo ya majimbo ya ukonga, segerea na korogwe kwa mtu mwenye taarifa rasmi
Waungwana naomba kujuzwa matokeo ya majimbo ya ukonga, segerea na korogwe kwa mtu mwenye taarifa rasmi
tycoon JF-Expert Member Joined Nov 2, 2010 Posts 510 Reaction score 567 Nov 2, 2010 #2 korogwe mgaga kachukua
tycoon JF-Expert Member Joined Nov 2, 2010 Posts 510 Reaction score 567 Nov 2, 2010 #3 prof maji marefu mganga wa sisiem
emmathy Senior Member Joined Sep 22, 2010 Posts 147 Reaction score 25 Nov 2, 2010 #4 kuhusu segerea na ukonga sijapata taarifa ila korogwe yapo majimbo 2(mjini na vijijini) kwa vijijini ameteuliwa prof maji marefu wakati mjini amepita yusuph nassir
kuhusu segerea na ukonga sijapata taarifa ila korogwe yapo majimbo 2(mjini na vijijini) kwa vijijini ameteuliwa prof maji marefu wakati mjini amepita yusuph nassir
Gwamahala JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 3,925 Reaction score 2,325 Nov 2, 2010 #5 CCM inazidi kujaza wachawi wa kumlinda JK...
nambiza Member Joined Oct 30, 2010 Posts 5 Reaction score 0 Nov 2, 2010 #6 Gwamahala said: CCM inazidi kujaza wachawi wa kumlinda JK... Click to expand... ha ha ha ha hii nimeipenda
Gwamahala said: CCM inazidi kujaza wachawi wa kumlinda JK... Click to expand... ha ha ha ha hii nimeipenda