Jamani...Nauliza tu

Ya macho, ili uone kama utashuhudia mwanaume anabembeleza kabla na baada ya kumega!
Poa,nitavaa halafu nikodoe macho vizuri kama kny avatar yako then nitakupa majibu
 
Poa,nitavaa halafu nikodoe macho vizuri kama kny avatar yako then nitakupa majibu

Usichelewe tafadhali. Ila ukigundua kuwa, kabla ya kumega wanaume hubembeleza lakini baada ya kumega hawabembelezi bali wanaliwaza, usimwambie mtu. Waache na wao wafanye utafiti wao. Sawa Wiselady wangue? haya kamata na hii bakshishi yako hapo chini!


The Following User Says Thank You to Wiselady For This Useful Post:

Asprin (Today)
 


Kwa wenye bahati zao mapenzi kama hayo yapo sana tu, kama hujabahatika basi muombe mungu, lakini siku hizi asilimia kubwa ya mapenzi ni usanii mtupu!
 
Hommie, hizi thanks hapa chini kwenye hii yuziful post unazitafsirije?



The Following 2 Users Say Thank You to Kaizer For This Useful Post:

Asprin (Today), queenkami (Today)
Unakesi ya kujibu! Mi ndo mwendesha mashtaka na hakimu! Mwambie na Teamo!
 
jamani eeh!.....

samahani sana jamani naomba kuuliza tu wajameni....!

mbona mimi kipindi hichi nimekuwa bize sana?????kwa nini?
 
jamani eeh!.....

samahani sana jamani naomba kuuliza tu wajameni....!

mbona mimi kipindi hichi nimekuwa bize sana?????kwa nini?

Tatizo la kuolewa na wakoloni matineja!
 
This question comes from the pope? .................Confused!

Yes..cause nowhere did our ST RR said he will be having lunch and SOMETHING else...I was the only one with such a sensitive information.....lol:decision:
 
Tatizo la kuolewa na wakoloni matineja!
HEHEHEHE!halafu wajameni eeh!
naomba kuuliza tena wajameni........................

mbona siku hizi WHITE LEKSAAZ vyumba ni adimu sanaaaaaaaaa!heheheh!samahani wajameni

ngoja niiiiiii:llama::llama::llama::llama:!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…