Siku izi wanatoa discount kwa member thus why!HEHEHEHE!halafu wajameni eeh!
naomba kuuliza tena wajameni........................
mbona siku hizi WHITE LEKSAAZ vyumba ni adimu sanaaaaaaaaa!heheheh!samahani wajameni
ngoja niiiiiii:llama::llama::llama::llama:!
Yes..cause nowhere did our ST RR said he will be having lunch and SOMETHING else...I was the only one with such a sensitive information.....lol:decision:
Yes..cause nowhere did our ST RR said he will be having lunch and SOMETHING else...I was the only one with such a sensitive information.....lol:decision:
Can't you read between them lines? Someone was also missing.... of course from the opposite team!
Eeeem! Sasa jibu basi....naona saa hizi siyo via mobile! Anything to report?Well.....hawa vijana wanajifanya kunusanusa sana....😛eep:😛eep:😛eep:😛eep:
Can't you read between them lines? Someone was also missing.... of course from the opposite team!
Nikilia nabembelezwa kwa upendo,
naye akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa,
mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa........... ah ah nabembelezwaa ah
By Barnaba THT.
Hivi kuna mapenzi ya hivi kweli au ni nyimbo tu?
Sijui kwa vile kesho ni sikukuu basi leo naiona kama ijmaa vile ah :sick::sick::sick::smow:
Order order order...mista cheaman nisaidie...
Order order order...mista cheaman nisaidie...
Nasikia na wewe ni kati ya watu waliotajwa na MR MADOGOkuwa umechukua mulungula kwenye ile ishu
...............Ndo unikimbie, uniache sijui nini niniMJ1 umenikumbusha wimbo unaitwa unikimbie
Mpenzi wangu mbona sasa umebadilika au kisa, si kutuma ile vocha si rahisi kama unavyofikiri penzi langu sio langu sio la kubebwa mgongoni starehe ngapi tumefanya and it continues..............................
'mtoto wa kike' ndo unataka awe king'ang'anizi au? ......
Wengine ndio raha zetu hizi.......tunalipia tu maraha hatuna tabu,....kwani mbona hata kama wahitaji kupata raha za misosi unanunua??!!!!!! Maraha gharama queen, shurti yalipiwe ati.haha eti full maraha wakati unajua wananyemelea wallet yako.
kwa hiyo siku ukiwa huna hela u r nobody kwao sio!
siku ukiwa huna hela hata ufiwe hawatakubembeleza lkn ukiwa nazo hata ukipiga chafya watu machozi yanawalengalenga.
...............Ndo unikimbie, uniache sijui nini nini
umenifanya nilie, sijui nini nini
Ndo unikimbie
Hapa kaka tunaswing pamoja kabisaNikiwa na mshiko si ndo namtafuta bila mshiko nitamtafutaje?
Kwa hiyo akiona namtafuta anajua leo mgodi umecheua na unanukia hapo nabembelezwa mpaka zinapo isha.
Njoo nikubembeleze G. Ya nini kujipa tabu kuuliza maswali hapa.na wanaume huwa wana bembeleza au wabembelezwe wao tu?
Ya nini malumbano G. Au hujaridhika nilivyokubembeleza........Haya basi sweet njoo mi nakusubiri.kwa mwanamke wa siku hizi mtabembeleza mkitaka msitake
...............Ndo unikimbie, uniache sijui nini nini
umenifanya nilie, sijui nini nini
Ndo unikimbie
natumia haki yangu ya kunyamaza...aftaroo katibu mkuu kazi yake ni utendaji zaidi, maneno kidogo...:tape2::typing::typing::typing::typing::typing:
Hahahahah hao ni mabingwa wa uchakachuaji.Halafu MJ1 babu yako na pope wamechakachua thredi yako aisee....
Mimi tu nimebaki kukuletea habari...:angel: