Jamani naumwa

EEH bana tena wanatakiwa wawe na vifurushi vya matunda mbn ww hajasema G kama utakuja pia?
Ukiwaona ujue hao ndo wanaomuuguza mgonjwa.
si ni kweli Pearl eeh!
 
si kiivyo but mnavyonichekesha napata nafuu kwakweli but itabidi nipite hsp maana acha tu
Tatizo unacheka sana wakati hujafunga kibwebwe, kiuno kitazidi kukaza. Shauri lako

umeanza kamchezo kaka chief editor eeeeeh!!!!???
Mamushka unakaba mpaka penalti!

a very understanding shemeji I have.....Geoff!!!!
Na Swahiba yangu Akili Kichwani ndo ushamtosa tena?

YAANI leo ndo najua weewe ni mult-profesheni hivoo!!!!!
Bado hujajua profesheni yake nyingine hii: Mzee Wa Logistics!

shem mzima? naona chief editor wa JF yuko kazini......... tena leo kikazi zaidi........... shem tunauguza bwana twin wako sijui masaibu gani kapata leo......... au ndo baraka zenyewe????
😱😱😱!!!

UMEKULA SENKSI HAPOOOOOOOOOOO!utamuona x-pin,kaizer,fidel,nguli,js,charity,bht,gp,mj1,woooooooooooooote
Hapo kijana umekula Senksi kwa kujali maslahi yangu!

Twinuska yani hawa watu bana so funny,anywei I DO LOVE XPIN VERY MUCH
Thanks my dear. Mee too!

Hommie naona maslahi yangu hapo unayazingatia kama kawaida.....lol nime do ze nidiful tayari
Logistics Zinazingatiwa!

Mbona hukumalizia By DR injinia wa kiuno, sorry viuno........Kaizer?.
Unafanya masihara na Hommie siyo?
 
u pple for sure cnt live without u ea
 
shem mzima? naona chief editor wa JF yuko kazini......... tena leo kikazi zaidi........... shem tunauguza bwana twin wako sijui masaibu gani kapata leo......... au ndo baraka zenyewe????

shem mie mzima....
mmh pole kuuguza jamani
ila twin wangu kwa kudeka na hivi sasa ndo kakupata mmmh but its all part ya mapenzi shem!!!

Kaka yeti huyo ni chief editor wa uhuru na mzalendo so huwa anajisahau saa nyingine kama hivo!!!
 
afu na wewe umenichanganya sana ujue
thank God numekushtukia
tuendeleeeeee..............umenipa nguvu niendelee kuchezea keyboard
mhhh! tena? kwenye red nimepapenda sana.
Pole mgonjwa Pearlu eeh! mwaya!
 
mhhh! tena? kwenye red nimepapenda sana.
Pole mgonjwa Pearlu eeh! mwaya!
nimekusoma kaka!
TATIZO HILO JINA NI LA KIKE!TARAJIA PI-EMU ZA KUTONGOZWA KUTOKA KWA FIDEL NA GPπŸ˜€πŸ˜€
 
nimekusoma kaka!
TATIZO HILO JINA NI LA KIKE!TARAJIA PI-EMU ZA KUTONGOZWA KUTOKA KWA FIDEL NA GPπŸ˜€πŸ˜€
He! Kumbe kidume hiki?
Atakuwa lazima Mseminaristi mstaafu!
 
shem mie mzima....
mmh pole kuuguza jamani
ila twin wangu kwa kudeka na hivi sasa ndo kakupata mmmh but its all part ya mapenzi shem!!!

Kaka yeti huyo ni chief editor wa uhuru na mzalendo so huwa anajisahau saa nyingine kama hivo!!!


haha.... muache adeke bwana ndo wakati wenyewe huu. mie bado kijana so no broblem hata mgongoni nitambeba....... yaani chinese style per se.

hyo bro nilidhani chief edita wa JF kumbe uhuru na mzalendo, nasikiaga wakishaedit manews yao wanasomaga wenyewe manake eti nasikia mtaani hayana soko kabisa!!!!!
 
Changarawe kwenye mdindifu!
stuka!!
TATIZO HATA JUA!LABDA UMWAMBIE makamadolesi kwenye mikate.(dogo alikuwa na demu wake sista kilembaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€)
 
shem mie mzima....
mmh pole kuuguza jamani
ila twin wangu kwa kudeka na hivi sasa ndo kakupata mmmh but its all part ya mapenzi shem!!!

Kaka yeti huyo ni chief editor wa uhuru na mzalendo so huwa anajisahau saa nyingine kama hivo!!!
Aaaah! Huko nlishahamaga nikahamia kwa shigongo. Nako nimepiga chini saizi niko FEMINA!

 

jamani Paco taratibu, haya mapenzi ya twin na AK bado machanga mbona hivi biggy?

Afu bibby kukaba si fani yangu lakini kama wewe na uhariri
 
binamu bwana πŸ˜€
 
jamani Paco taratibu, haya mapenzi ya twin na AK bado machanga mbona hivi biggy?

Afu bibby kukaba si fani yangu lakini kama wewe na uhariri

Hahaha! Mamushka bana!
Nasubiria ndoa ya AK na Pearl!
Lazima logistics zifanyike; BTW lini utanionyesha tena hiyo sura ya Maria Magdalene? Nimeimisi vibaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…