Weka bei, na maelezo, naweza nunua na kuihamishia niliko.
Tangazo hili linamhusu mwenye mtaji na nia ya kufanya biashara ya stationary maeneo ya Moro town. Ofisi iko eneo zuri kibiashara na inalipa kwa kweli.
Kwa upande wangu usimamizi umezingua baada ya kuhama mkoa. Nimeendelea nayo kwa mwaka mzima baada ya kuhama lakini nimechemka usimamizi.
Kwa mwenye nia na mtaji niPM tuongee biashara..
Ukishajipanga urudi tena, kwasababu mpaka muda huu unauza na bei unayouza huijui..
Ukishaijua bei, utaweka picha na namba yako ya simu kinyume na hapo ni upuuzi tu.
mkuu kaundime nashindwa kukupata PM.please nichek hapo tuyamalize haraka: bigarperes@gmail.com
Tangazo hili linamhusu mwenye mtaji na nia ya kufanya biashara ya stationary maeneo ya Moro town. Ofisi iko eneo zuri kibiashara na inalipa kwa kweli.
Kwa upande wangu usimamizi umezingua baada ya kuhama mkoa. Nimeendelea nayo kwa mwaka mzima baada ya kuhama lakini nimechemka usimamizi.
Kwa mwenye nia na mtaji niPM tuongee biashara..
mkuu kaundime nashindwa kukupata PM.please nichek hapo tuyamalize haraka: bigarperes@gmail.com
Bado, ila uyo uliemkwoti hapo juu tumepanga kuonana kwa maongezi zaidi
Ka vipi nawewe nipe ratiba yako ukaone coz nitakua moro town wikendi hii
line za m_pesa na tigo_pesa waweza uza pekee,NA JE KWA UZOEFU WAKO NAWEZA KUJA ZITUMIA HUKU DAR? #asante
we ni bigure
Nilishakwambia siku utakapokuwa serious utagundua kuwa wateja wapo wengi tu. Si wote wanaweza kukuPM si kila mtu ni registered member na wengine hawataki kufahamiana humu, weka namba ya simu au email, weka na picha.
Line za m pesa, tigo pesa na airTel money zote ninazo nauza bei poa!
0752698636
Line zote zinafanya kazi Dar