Anasoma combination gan?. 2007 iliku last ten. Baada ya hapo wanajitahidi. Na pia nasikia mazngra ya kusoma si mabaya. Kuna ndg yangu kasoma hapo, ametoka six 2009 alifanya. Ila baraa sijaifatilia vizur perfomance yake ili nilinganishe na Longido.
NB. Shule nyng za serikal zinahitaji juhudi za mwanafunz. Hakuna shule ya serikali ambayo haina matatizo, ila yanatofautiana. Ahsante.