Jamani ni kweli namba 8 inabahati????

Hapo labda uniambie wameona tuu hizo nane nane zimependeza kukaa pamoja nitakuelewa, lakini eti namba nane ina bahati..Mmmh, mi siamini hizo imani!

ok nahisi hivo ila walishindwa kutete hoja yao wakaona watie neno bahati.
 
Watu wanaishi kwa kutegemea bahati?! Teh teh teh
 
hakuna kitu cha namna hiyo....., uchumba na ndoa ni vile mtakavyoishi na kuujenga, it has nothing to do na tarehe... mwisho wa siku mtabadilisha hadi majina.....



mii sina iman hiii! nataka kusikia kwenu wakubwa zangu ni kwelii au?
 
hakuna kitu cha namna hiyo....., uchumba na ndoa ni vile mtakavyoishi na kuujenga, it has nothing to do na tarehe... mwisho wa siku mtabadilisha hadi majina.....

ok nimekusoma mkuu thanx!
 
Mambo ya kawaida ingekuwa ni hivyo wachumba wote wangekuwa wanavishwa pete siku hiyo..but cwezi kujua huenda ina maana kubwa.
 
Duuh hapo unamatchisha umbo namba 8 na hiyo tarehe, hakuna habati za design hizo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…