Jamani ni vije hapa...................?

Halafu wewe hiyo martenity leave yako inaisha lini? Babu Big Braza anakumisi huku...LOL

Inaisha desemba Big Braza..kuwa na subira Biggie...vipi lakini mambo
 
kwa hiyo mwanajamiione unataka kunipa picha gani ninapoona post uliyoirusha saa sita na dakika tano''usiku wa giza?''
 

duh! Mwanamke wa ku fall kwenye huu mtego miaka hii lazima awe ameishia form ii a
 

Kha we baba kwa nini wanichukia hivyo mwana wa mwenzio? mi sijawahi tafuta mwenye ukimwi ingawa siwanyanyapai kumbuka mungu hapendi tubaki na vinyongo
 
Mwanamke mwenye tabia nzuri hawezi kumwacha mumewe......kwa hiyo Rehani hapa alikua sa hihi kabsaa.....
 


Kha we baba kwa nini wanichukia hivyo mwana wa mwenzio? mi sijawahi tafuta mwenye ukimwi ingawa siwanyanyapai kumbuka mungu hapendi tubaki na vinyongo

😛ray2:😛ray2:😛ray2:
 
hivi kama mwanamke wa hivi ameamua kuchupukia nje, anampaje nafac tena huyo bwana kuongelea hata ndoa yake kwa umbaliiii tu achia mbali kumshawishi kumuwacha?
 
Akili na fikira zenu zinafanana,ndo maana huwa mnakuwa wepesi kuamini,bt cie ni njoko na tutaendelea kumipelekesha bana!
Najaribu kulifikiria kwa upana zaidi........na wale wababa wanaoacha wake zao kwa ajili ya nyumba ndogo sijui huwa inakuwaje!! Au kwa vile wanawake hatuko kama nyie kuwa umekuja kwangu nyumba ndogo umechuja bado nitakubeba tu??........
 
kwa hiyo mwanajamiione unataka kunipa picha gani ninapoona post uliyoirusha saa sita na dakika tano''usiku wa giza?''
TEamo umerudi??....Habari yako Banaaa

Mie siku hizi popo............(sio bawa lakini lol)
 
.......KIPOMPWISO!........Mwe:redfaces:
 

Dena.........hili si kwamba limeimbwa tu kufurahisha wapenda muziki la hasha YANATOKEA na mie nimeshuhudia kwa mtu wa karibu sana........ actually wimbo huu nilipousikiliza jana ndio nikamkumbuka na huyu muhusika...........

Ninashindwa kutofautisha na ile ya mwanaume anayeacha/telekeza mkewe kwa utamu wa nyumba ndogo though
 

Kwakuwa akili zenu zina zina mda wakufanya kazi!wakati huwa zinakuwa mapumziko!!ndiyo maana mnaweza kudanganywa chochote na kuja kujutia baadae!!wakati zipo kazini!
 
Ohooo Baby gal...bado tu??
Hebu sasa mkoromee, mtolee mijimimacho na kumkunjia juso....akhaa mwanaume gani huyo asojua kukataliwa??.................mwelekeze kwangu alete mahari kwanza.
 
Kwakuwa akili zenu zina zina mda wakufanya kazi!wakati huwa zinakuwa mapumziko!!ndiyo maana mnaweza kudanganywa chochote na kuja kujutia baadae!!wakati zipo kazini!
Na wale wanaume wanaotelekeza familia zao kwa utamu wa nyumba ndogo nao wana akili za kike au?
 
MJI haya mambo unaweza ukawa wewe au mimi tuna utambuzi zaidi ya wengine embu mfikirie binti aliyeolewa na umri mdogo hana uelewa wowote kuhusu ndoa halafu alivoingia ndani akakuta mambo sivyo huyu binti akakutana na kaka zetu wenye ushawishi nini kitatokea bado huwa napata shida kuelewa kwanini watu wasiwe wanasema ukweli na kama unampenda mtu naamini utamsaidia kwa njia yoyote ile na siyo kumuharibia maisha yake mwambie kabisa we ulishaolewa hapa tunapunguza stress


 

Chauro dada/kaka yangu, umri mdogo ni upi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…