Jamani nimerudi niliye pima majibu yakawa tata nimekwenda hosp. nyingne haya ndo yamejiri

Joined
Aug 10, 2013
Posts
76
Reaction score
7
Cha 1 kikaonyesha mstari mmoja na kama kwambali mstari wa pili akachukua cha pili ukaonyesha mstari 1 tu akasema ni salama.
 
Hahaaaa Hongera bwana!
Mana ungetufia hapa na pressure !
 
Hahaaaa Hongera bwana!
Mana ungetufia hapa na pressure eti pressure!?usiogope
 
Mie binafsi huwa napima sehemu zaidi ya 2 ili kupata uhakika.
Hongera kijana, baki njia kuu sasa.
 
Tunasubiri majibu mengine baada ya miezi mitatu.
ONYO; ukiwa mzima sio kibali cha kuwa kahaba. jitunze.
 
kwahiyo umepima mara 2? sasa baada ya miezi m3 nenda tena, inawezekana huo mstari wa kwa mbaali ukawa umekoza tayari. ila hongera kwa uthubutu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…